MRADI WA UTAMBUZI KUHUSU UMUHIMU WA AFYA YA AKILI NA TIBA SAIKOLOJIA KATIKA JAMII YA SASA MPAKA UKOMO WA JAMII YA SASA
Maana ya Afya ya AkiliAfya ya akili
inahusu ustawi wa mtu katika ngazi tatu ambazo ni:
- Nafsi na Utashi
- Akili na fikra
- Mwili na Hisia
Hivyo mtu anavyo
hisi/ waza na kusimamia wazo ndivyo anavyo tenda katika maisha yake.
SIFA ZA MTU
MWENYE AKILI TIMAMU
- Kujitambua katika maisha
- Kufikiri tofauti na mazoea
- Kukumbuka na kuelewa
- Kushirikiana na watu wengine
- Kujifunza na kujisimamia
- Kuhimili changamoto za maisha
- Kutatua matatizo
- Kutumia vipawa na kalama vyema
VYANZO VYA
MAGONJWA YA AKILI KWA MTU
- Ugumu wa maisha
- Madawa ya kulevya
- Michezo ya kamali
- Ajari
- Magonjwa ya mda mrefu
- Mazingira
- Mila na desturi za kijamii
DALILI ZA
MAGONJWA YA AKILI
- Mfadhaiko
- Kupoteza kumbukumbu
- Kujitenga kwa muda mrefu
- Kuwa na hasira za haraka wiki mbili +
- Kujidhalau na kukatatamaa
- Kushindwa kutimiza majukumu
NAMNA YA
KUKABILIANA NA MAGONJWA YA AKILI
- Kulielewa tatizo au chanzo, hili ni la kwanza
- Kudhibiti msongo wa mawazo
- Kuepuka vyanzi hasi kuhusu watu
- Kufanya mazoezi ya mwili na akili
- Kupata lishe bora katika maisha
- Kuepuka matumizi ya dawa za kulevya
- Kutumia tiba saikolojia
- Kutunza afya ya mazingira kupata hewa safi
-------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------

Hakika kazi ya ukombozi wa fikra ni jukumu letu sote
JibuFutaZIPI NI Aina za magonjwa ya Afya ya akiki?
JibuFutaKuna ya kuzaliwa nayo
FutaKuna ya kupata kimakuzi
Mfano.
sonona
Ni ugonjwa wa Akili ambapo mtu husikikia huzuni mara kwa mara na huambatana na mawazo hasi.
Wasiwasi
Hii hutokea kw mtu kulingana na matendo na mazingira alipo na huwanihali ya kupindukia.
Na mengine kama bipolar
Skizofrenia
Usonji
π€
JibuFutahongera sana na kazi nzuri!
FutaKaribu AkiliPlatform Tanzania
FutaMungu aendelee kukubariki
JibuFutaAminaaaaa
FutaYeah, ni jambo la kheri kutumia taaluma na tunu zetu kwa ajili ya ukombozi wa jamii yetu.
JibuFutaMungu atuongoze
FutaNi kazi nzuri sana
JibuFutaKazi nzuri San π€π
JibuFutaAsante sana
FutaKaribunituijenge Tanzania Yetu
JibuFutaKazi nzuri sanaπ₯
JibuFuta