Maisha ni somo ambalo halina mwisho wa masomo. Kila siku inaleta changamoto mpya, mafanikio mapya, na mafunzo mapya. Usifikiri kwamba kwa sababu umejifunza kitu fulani basi unajua yote.
Watu wakubwa huendelea kujifunza kila wakati. Ukiwa mnyenyekevu kujifunza, utakuwa na hekima zaidi kuliko mwenye majigambo
.jpg)
0 Comments:
Chapisha Maoni