Unapohisi kukata Tamaa Soma ujumbe Huu maana afya ya akili siyo ugonjwa ni ustawi binadamu anavyojihisi ndivyo anavyotenda.
Akiwa na furaha anatenda kwa furaha ila aķiwa na huzuni anaweza kutenda kwa huzuni tunakutaarifu kuwa bado unayo nafasi ya kutimiza ndoto zako Simama na simamia malengo na ndoto zako thamani yako ni kubwa sana.Kumbuka! Daima! Ulipo.
1️⃣“Usikate tamaa leo, kesho inaweza kuwa siku ambayo kila kitu unachokitafuta kitaonekana.”
Lakini pia
2️⃣“Kama bado una pumzi, basi bado una nafasi.”
3️⃣“Ulikuja duniani si kuishi kwa kukata tamaa bali kwa kushinda changmoto.”
4️⃣“Maumivu ya sasa ni maandalizi ya ushindi mkubwa wako wa kesho.”
5️⃣“ Usisahau: hata jua huchomoza baada ya giza nene.”
6️⃣“Wale wasio kata tamaa hata wanapohisi hawana nguvu — hao ndio mashujaa wa kweli.”
7️⃣ “ Siku moja utashukuru kwa kuchukua maamuzi ya kutokukata tamaa"
Je kwa sasa ni jambo gani unahisi kulikatia tamaa?
Au linataka kukukatisha tamaa sema na Akili Platform Tanzania
0764 246 072 au 0626 551 859 au akiliplatform9@gmail.com au roghatfalme@gmail.com






0 Comments:
Chapisha Maoni