Jumanne, 2 Desemba 2025

Je wajua ni muhimu kuchunguza afya yako


 LISHE NA PRESSURE (HYPERTENSION

‎Pressure (Blood Pressure) ni msukumo wa damu unaosukumwa na moyo kwenda kwenye mishipa ya damu.

‎Inapoongezeka kuliko kiwango cha kawaida, tunaita Hypertension (high blood pressure).Kipimo kinachotumika ni Millimeters of mercury (mmHg)

‎Mfano wa matokeo ya kipimo: 120/80 mmHg.

‎.Namba ya juu (systolic) = msukumo wakati moyo unapopanda 

‎.Namba ya chini (diastolic) = msukumo wakati moyo unaposhuka( kupumzika).

‎๐Ÿซ€Normal pressure.       <120/<80mmHg

‎๐Ÿซ€Elevated.                  120-129/<80mmHg High blood pressure 130-139/80-89mmH

‎( stage 1).

‎๐Ÿซ€High blood pressure   140+/90+mmHg

‎( stage 2).

‎❤️‍๐Ÿ”ฅiliyozidi sana   >180/>120mmHg.

‎2. Aina za Pressure

‎✍️ Pressure ya kupanda.hii ni hatari Kwa sababu huua polepole ( silent killer) Kwasababu huwa haionyeshi dalili.

‎✍️ Pressure ya kushuka.

‎๐Ÿ’ฅ๐Ÿ’ฅ SABABU ZINAZOPELEKEA ONGEZEKO LA PRESSURE.

‎✅ Unene uliopitiliza (overweight/obesity)

‎✅ Kutofanya mazoezi

‎✅Ulaji wa chumvi nyingi

‎✅Msongo wa mawazo

‎✅Uvutaji sigara na unywaji pombe

‎✅Kula vyakula vya mafuta mengi (especially saturated & trans fats)

‎✅Umri kuongezeka

‎✅Magonjwa ya figo, kisukari

‎✅ Kurithi kutoka kwa familia

‎MATIBABU YA PRESSURE๐Ÿ’Š๐Ÿ’‰๐Ÿฉบ.

‎✅ Lifestyle (mabadiliko ya mwenendo wa maisha).mfano,

‎✍️Kupunguza uzito

‎✍️Mazoezi angalau dakika 30 kwa siku (kutembea, kukimbia, yoga)

‎✍️Kupunguza chumvi ( isizidi kijiko kimoja kwa siku)

‎✍️Kupunguza msongo wa mawazo

‎✍️Kuepuka sigara na pombe

‎✅Medical (Dawa)๐Ÿ’Š๐Ÿ’Š๐Ÿ’Š๐Ÿ’‰๐Ÿ’‰๐Ÿ’‰.

‎Hapa Daktari anaweza kuandika dawa kulingana na stage ya ugonjwa wa mtu husika.

‎✅Nutrition (Lishe) ๐ŸŒพ๐Ÿซ๐ŸŒฝ๐Ÿฅฆ๐ŸŒ๐Ÿฅญ๐Ÿ๐Ÿ…๐Ÿ‰

‎Huu ni  msingi mkubwa wa udhibiti wa pressure.

‎Kwa  Kufuata DASH diet(Dietary Approaches to Stop Hypertension)

‎Kupunguza chumvi, mafuta mabaya, sukari nyingi

‎Kula zaidi vyakula vyenye potassium, magnesium, fiber( nyuzinyuzi).

0 Comments:

Chapisha Maoni