Akili Platform Tanzania ni NGO iliyoanzishwa 2022 Tabora, Tanzania, ikilenga afya ya akili, utetezi wa mazingira, na haki za binadamu.
Hutoa ushauri nasaha, warsha, na kampeni za afya ya akili; miradi ya usafi, kuchakata taka, na elimu ya mabadiliko ya tabianchi; na msaada wa kisheria kwa makundi yaliyotengwa.
Inachangia SDGs 3 (Afya Bora), 13 (Mabadiliko ya Tabianchi), na 16 (Amani na Haki).
Mawasiliano: akiliplatform9@gmail.com | +255 626 551 859.
Fuatilia Instagram, Facebook, TikTok.
Jumanne, 6 Mei 2025
Watumishi chuo cha TPSC mkoani Tabora _ Somo la Afya ya akili na Uongozi
Mazoezi ni tiba
Kazi inaendelea ni mwezi wa Tano 2025 mwezi wa Uelewa juu ya Afya ya Akili.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni